Shirika la Habari la Hawza- likinukuu kituo cha habari cha al-Manar, siku ya Jumatano video moja ilisambaa kwa kasi kubwa katika mitandao ya kijamii.
Video hiyo ilionyesha wakati ambao wanaharakati wa haki za binadamu na wafuasi wa Palestina walikusanyika mbele ya mgahawa aliokuwemo Rafael Harpaz, balozi wa Israel nchini humo, huku wakipaza sauti kwa kauli mbiu kama vile: "Palestina ni huru" "Muuwaji wa halaiki ondoka hapa", mikono yako imejaa damu.
Maoni yako